Skip to content
Yeremia 48:3-6

Yeremia 48:3-6

3
Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.
4
Moabu utavunjwa, wadogo wake watapiga kelele.
5
Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi, wakilia kwa uchungu wanapotembea, kwenye njia inayoshuka kwenda Horonaimu, kilio cha uchungu kwa ajili ya uharibifu kinasikika.
6
Kimbieni! Okoeni maisha yenu, kuweni kama kichaka jangwani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options