Skip to content
Yeremia 48:21-25

Yeremia 48:21-25

21
Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,
22
katika Diboni, Nebo na Beth-Diblathaimu,
23
katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli na Beth-Meoni,
24
katika Keriothi na Bosra; kwa miji yote ya Moabu, iliyoko mbali na karibu.
25
Pembe ya Moabu imekatwa, mkono wake umevunjwa,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options