Skip to content
Yeremia 48:21-25

Yeremia 48:21-25

21
Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,
22
katika Diboni, Nebo na Beth-Diblathaimu,
23
katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli na Beth-Meoni,
24
katika Keriothi na Bosra; kwa miji yote ya Moabu, iliyoko mbali na karibu.
25
Pembe ya Moabu imekatwa, mkono wake umevunjwa,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options