Skip to content
Yeremia 48:1-3

Yeremia 48:1-3

1
Kuhusu Moabu: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Ole wake Nebo, kwa maana utaharibiwa. Kiriathaimu utaaibishwa na kutekwa; Misgabu itaaibishwa na kuvunjavunjwa.
2
Moabu haitasifiwa tena; huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’ Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia.
3
Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options