Skip to content
Yeremia 43:8-9

Yeremia 43:8-9

8
Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
9
“Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options