Yeremia 43:8-9
8
Huko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
9
“Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.