Skip to content
Yeremia 32:9-10

Yeremia 32:9-10

9
Hivyo nikalinunua shamba hilo lililoko Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nami nikampimia shekeli kumi na saba za fedha.
10
Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya kumiliki, nikaweka mashahidi, na kupima ile fedha kwenye mizani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options