Ir al contenido
Yeremia 32:37-40

Yeremia 32:37-40

37
Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.
38
Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
39
Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.
40
Nitafanya nao agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili kamwe wasigeukie mbali nami.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options