דלג לתוכן
Yeremia 32:20-21

Yeremia 32:20-21

20
Ulitenda ishara za miujiza na maajabu huko Misri, na umeyaendeleza mpaka leo, katika Israeli na miongoni mwa wanadamu wote, nawe umejulikana na kufahamika hivyo mpaka leo.
21
Uliwatoa watu wako Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu, kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa na kwa matisho makuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options