Rukia maudhui
Yeremia 30:23-24

Hukumu ya Mwisho Juu ya Waovu

Yeremia 30:23-24
23
Tazama, tufani ya Bwana italipuka kwa ghadhabu, upepo wa kisulisuli uendao kasi utashuka juu ya vichwa vya waovu.
24
Hasira kali ya Bwana haitarudi nyuma mpaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa haya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options