Rukia maudhui
Yeremia 29:11-14

Mipango ya Tumaini na Wakati Ujao

Yeremia 29:11-14
11
Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu,” asema Bwana, “ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.
12
Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
13
Mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
14
Nitaonekana kwenu,” asema Bwana, “nami nitawarudisha watu wenu waliotekwa. Nitawakusanya kutoka mataifa yote na mahali pote nilipokuwa nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali ambapo nilikuwa nimewatoa walipochukuliwa uhamishoni,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options