Yeremia 25:19-21
19
pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,
20
pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi);
21
Edomu, Moabu na Amoni;