Skip to content
Yeremia 23:34-35

Yeremia 23:34-35

34
Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.
35
Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Bwana amejibu nini?’ au ‘Bwana amesema nini?’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options