Rukia maudhui
Yeremia 21:1-3

Sedekia Atafuta Neno la Bwana

Yeremia 21:1-3
1
Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
2
“Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
3
Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options