Skip to content
Yeremia 2:12-13

Yeremia 2:12-13

12
Shangaeni katika hili, ee mbingu, nanyi tetemekeni kwa hofu kuu,” asema Bwana.
13
“Watu wangu wametenda dhambi mbili: Wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji yaliyo hai, nao wamejichimbia visima vyao wenyewe, visima vilivyobomoka, visivyoweza kuhifadhi maji.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options