Skip to content
Yakobo 5:2-3

Yakobo 5:2-3

2
Utajiri wenu umeoza na mavazi yenu yameliwa na nondo.
3
Dhahabu yenu na fedha yenu vimeliwa na kutu. Kutu yake itashuhudia dhidi yenu nayo itaila miili yenu kama vile moto. Mmejiwekea hazina kwa ajili ya siku za mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options