Skip to content
Yakobo 3:11-12

Yakobo 3:11-12

11
Je, chemchemi yaweza kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya chumvi?
12
Je, ndugu zangu, mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options