Skip to content
Yakobo 2:6-7

Yakobo 2:6-7

6
Lakini ninyi mmemdharau yule aliye maskini. Je, hao matajiri si ndio wanaowadhulumu na kuwaburuta mahakamani?
7
Je, si wao wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options