Skip to content
Yakobo 1:6-8

Yakobo 1:6-8

6
Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.
7
Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana.
8
Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options