Rukia maudhui
Isaya 65:17-19

Mbingu Mpya na Dunia Mpya

Isaya 65:17-19
17
“Tazama, nitaumba mbingu mpya na dunia mpya. Mambo ya zamani hayatakumbukwa, wala hayatakuja akilini.
18
Lakini furahini na kushangilia daima katika hivi nitakavyoumba, kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza, nao watu wake wawe furaha.
19
Nami nitaifurahia Yerusalemu na kuwafurahia watu wangu; sauti ya maombolezo na ya kilio haitasikika humo tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options