ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Isaya 49:13-14

Isaya 49:13-14

13
Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
14
Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options