Isaya 49:13-14
13
Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
14
Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”