Rukia maudhui
Isaya 46:1-2

Mzigo wa Miungu ya Babeli

Isaya 46:1-2
1
Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama; sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo. Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea, mzigo kwa waliochoka.
2
Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini; hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu, wote wanakwenda utumwani pamoja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options