Skip to content
Isaya 44:9-10

Isaya 44:9-10

9
Wote wachongao sanamu ni ubatili, navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu. Wale ambao wanazitetea ni vipofu, ni wajinga, nao waaibika.
10
Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu, ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options