Isaya 41:6-7
6
kila mmoja humsaidia mwingine na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”
7
Fundi humtia moyo sonara, yeye alainishaye kwa nyundo humhimiza yeye agongeaye kwenye fuawe, Humwambia yeye aunganishaye, “Ni kazi njema.” Naye huikaza sanamu kwa misumari ili isitikisike.