Skip to content
Isaya 41:5-7

Isaya 41:5-7

5
Visiwa vimeliona na kuogopa, miisho ya dunia inatetemeka. Wanakaribia na kuja mbele,
6
kila mmoja humsaidia mwingine na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”
7
Fundi humtia moyo sonara, yeye alainishaye kwa nyundo humhimiza yeye agongeaye kwenye fuawe, Humwambia yeye aunganishaye, “Ni kazi njema.” Naye huikaza sanamu kwa misumari ili isitikisike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options