Skip to content
Isaya 41:11-12

Isaya 41:11-12

11
“Wote walioona hasira dhidi yako hakika wataaibika na kutahayarika, wale wakupingao watakuwa kama vile si kitu, na kuangamia.
12
Ingawa utawatafuta adui zako, hutawaona. Wale wanaopigana vita dhidi yako watakuwa kama vile si kitu kabisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options