Skip to content
Isaya 40:4-5

Isaya 40:4-5

4
Kila bonde litainuliwa, kila mlima na kilima kitashushwa; penye mabonde patanyooshwa, napo palipoparuza patasawazishwa.
5
Utukufu wa Bwana utafunuliwa, nao wanadamu wote watauona pamoja. Kwa maana kinywa cha Bwana kimenena.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options