Skip to content
Isaya 35:5-6

Isaya 35:5-6

5
Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa na masikio ya viziwi yatazibuliwa.
6
Ndipo kilema atarukaruka kama kulungu, nao ulimi wa aliye bubu utapaza sauti kwa shangwe. Maji yatatiririka kwa kasi katika nyika, na vijito katika jangwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options