پرش به محتوا
Isaya 33:5-6

Isaya 33:5-6

5
Bwana ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka, ataijaza Sayuni kwa haki na uadilifu.
6
Atakuwa msingi ulio imara kwa wakati wenu, ghala za wokovu tele, hekima na maarifa; kumcha Bwana ni ufunguo wa hazina hii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options