Skip to content
Isaya 32:15-18

Isaya 32:15-18

15
mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu, nalo jangwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba kuwa kama msitu.
16
Haki itakaa katika jangwa, na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
17
Matunda ya haki yatakuwa amani, matokeo ya haki yatakuwa utulivu na matumaini milele.
18
Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options