Skip to content
Isaya 31:6-7

Isaya 31:6-7

6
Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
7
Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options