Skip to content
Isaya 28:5-6

Isaya 28:5-6

5
Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuwa taji la utukufu, taji zuri la maua kwa mabaki ya watu wake.
6
Atakuwa roho ya haki kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu, chanzo cha nguvu kwa wale wazuiao vita langoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options