Skip to content
Isaya 28:5-6

Isaya 28:5-6

5
Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuwa taji la utukufu, taji zuri la maua kwa mabaki ya watu wake.
6
Atakuwa roho ya haki kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu, chanzo cha nguvu kwa wale wazuiao vita langoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options