Rukia maudhui
Isaya 27:12-13

Kukusanywa kwa Mwisho kwa Mabaki

Isaya 27:12-13
12
Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.
13
Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options