Skip to content
Isaya 17:4-6

Isaya 17:4-6

4
“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika.
5
Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka na kuvuna nafaka kwa mikono yake, kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke katika Bonde la Warefai.
6
Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yazaayo sana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options