Skip to content
Isaya 17:7-8

Mabaki Yatamgeukia Mungu

Isaya 17:7-8
7
Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao, na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.
8
Hawataziangalia tena madhabahu, kazi za mikono yao, nao hawataheshimu nguzo za Ashera, na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options