Skip to content
Isaya 15:6-7

Ukiwa wa Nchi na Anguko la Uchumi

Isaya 15:6-7
6
Maji ya Nimrimu yamekauka na majani yamenyauka; mimea imekauka wala hakuna kitu chochote kibichi kilichobaki.
7
Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options