Rukia maudhui
Isaya 14:1-3

Kurejeshwa kwa Israeli

Isaya 14:1-3
1
Bwana atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, na kuwakalisha katika nchi yao wenyewe. Wageni wataungana nao na kujiunga na nyumba ya Yakobo.
2
Mataifa watawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe. Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa kama watumishi na wajakazi katika nchi ya Bwana. Watawafanya watekaji wao kuwa mateka, na kutawala juu ya wale waliowaonea.
3
Katika siku Bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options