Skip to content
Isaya 1:25-27

Isaya 1:25-27

25
Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu, nitawasafisha takataka zenu zote na kuwaondolea unajisi wenu wote.
26
Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani, nao washauri wenu kama ilivyokuwa mwanzoni. Baadaye utaitwa, Mji wa Haki, Mji Mwaminifu.”
27
Sayuni itakombolewa kwa haki, wale waliomo ndani yake waliotubu kwa uaminifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options