Skip to content
Isaya 1:21-23

Isaya 1:21-23

21
Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
22
Fedha yenu imekuwa takataka, divai yenu nzuri imechanganywa na maji.
23
Watawala wenu ni waasi, rafiki wa wevi, wote wanapenda rushwa na kukimbilia hongo. Hawatetei yatima, shauri la mjane haliletwi mbele yao lisikilizwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options