Skip to content
Hosea 8:7-10

Hosea 8:7-10

7
“Wanapanda upepo na kuvuna upepo wa kisulisuli. Bua halina suke, halitatoa unga. Kama lingetoa nafaka, wageni wangeila yote.
8
Israeli amemezwa; sasa yupo miongoni mwa mataifa kama kitu kisicho na thamani.
9
Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake. Efraimu amejiuza mwenyewe kwa wapenzi.
10
Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wataanza kudhoofika chini ya uonevu wa mfalme mwenye nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options