Skip to content
Hosea 2:16-17

Hosea 2:16-17

16
“Katika siku ile,” asema Bwana, “utaniita mimi ‘Mume wangu’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’
17
Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options