Skip to content
Waebrania 6:4-6

Waebrania 6:4-6

4
Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,
5
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,
6
kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options