Skip to content
Waebrania 6:4-6

Waebrania 6:4-6

4
Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,
5
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,
6
kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options