Rukia maudhui
Waebrania 11:1-3

Maana na Hali ya Imani

Waebrania 11:1-3
1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.
2
Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.
3
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options