Skip to content
Waebrania 10:4-5

Waebrania 10:4-5

4
kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
5
Kwa hiyo, Kristo alipokuja duniani, alisema: “Dhabihu na sadaka hukuzitaka, bali mwili uliniandalia;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options