Skip to content
Habakuki 3:10-11

Habakuki 3:10-11

10
milima ilikuona ikatetemeka. Mafuriko ya maji yakapita huko; vilindi vilinguruma na kuinua mawimbi yake juu.
11
Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni katika mngʼao wa mishale yako inayoruka, na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options