Rukia maudhui
Habakuki 2:9-11

Ole wa Pili: Dhidi ya Faida Isiyo ya Haki

Habakuki 2:9-11
9
“Ole wake yeye ajengaye milki yake kwa mapato ya udhalimu, awekaye kiota chake juu, ili kukimbia makucha ya uharibifu!
10
Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi, ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako.
11
Mawe ya kuta yatapiga kelele, na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options