Rukia maudhui
Habakuki 2:12-14

Ole wa Tatu: Dhidi ya Kujenga kwa Umwagaji wa Damu

Habakuki 2:12-14
12
“Ole wake yeye ajengaye mji kwa kumwaga damu na kuusimamisha mji kwa uhalifu!
13
Je, Bwana Mwenye Nguvu Zote hakuonyesha kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto, na kwamba mataifa yanajichosha bure?
14
Kwa kuwa dunia itajazwa na maarifa ya utukufu wa Bwana, kama maji yaifunikavyo bahari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options