Skip to content
Mwanzo 5:6-8

Mwanzo 5:6-8

6
Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7
Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
8
Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options