Skip to content
Mwanzo 5:28-30

Mwanzo 5:28-30

28
Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29
Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
30
Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options