মূল বিষয়বস্তুতে যান
Mwanzo 5:28-29

Mwanzo 5:28-29

28
Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29
Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options