Rukia maudhui
Mwanzo 49:5-7

Simeoni na Lawi: Walaaniwa kwa Ukatili

Mwanzo 49:5-7
5
“Simeoni na Lawi ni wana ndugu: panga zao ni silaha za jeuri.
6
Mimi na nisiingie katika baraza lao, nami nisiunganike katika kusanyiko lao, kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao, walikata mishipa ya miguu ya mafahali kama walivyopenda.
7
Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno, nayo ghadhabu yao ni ya ukatili! Nitawatawanya katika Yakobo Na kuwasambaza katika Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options