Skip to content
Mwanzo 49:14-15

Mwanzo 49:14-15

14
“Isakari ni punda mwenye nguvu ambaye amelala kati ya mizigo yake.
15
Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa kupumzika na jinsi nchi yake inavyopendeza, atainamisha bega lake kwenye mzigo na kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options